I am not sure when this picture was taken, and i am not sure who took it. Not even sure where it originated, but i thought you guys will be happy to see it. Mimi nilifowadia tu, so not sure who deserves the credit.
MISSING YOU A LOT Bam O
Sunday, October 17, 2010
Edgar & Eric Mwakyusa
Saturday, October 16, 2010
Edgar Mark Mwakyusa with Uncle Lusajo Sept 2007 Dar es salaam
Sherehe ndogo ya kuadhimisha miaka 63 ya kuzaliwa Mama Ndaga (Mrs. Eunice Mwakyusa in Red) iliyofanyika Sea Cliff Hotel tarehe 8/9/2010. Pichani ni Dr. Ambwene TH Mwakyusa na Arch. Ndaga Juliet Magambo.
Napenda kuchukua nafasii hii kukukaribisha katika blog hii ya familia ya Mwakyusa. Blog hii itakupa habari mbalimbali za famili ya Mwakyusa. (Lusajo T. Mwakyusa)
Kushoto ni mwanzilishi wa Blog hii Eng. Lusajo Tonnie Mwakyusa na Kaka yake Mark Tonnie Mwakyusa. Picha hii ilichukuliwa miaka ya kati ya sabini (1976) walipoluwa nchini Kenya katika miangaiko ya kuatafuata maisha.